Muislamu ‘khamsa-swalawat’ meneja shamba la kufuga nguruwe?
July 14 2014 Nimekuwa nikijadili, na kukemea, unafiki unaotutawala katika maisha yetu kam taifa. Tumefnaya unafiki umekuwa ni sehemu muhimu ya utu wetu , au labda niseme nakisi yetu katika utu. Unafiki umetuenea kiasi kwamba wengi wetu tunapona ni bora kusema uongo hata pale ambapo ingekuwa faida kwetu kusema ukweli. Hali hii haikuanza leo, ingawa...